Video ya 50 Cent alivyokataa ofa ya Diddy kumpeleka SHOPPING na kueleza mabaya yake yasambaa

Spread the love


Video ya 50 Cent alivyokataa ofa ya Diddy kumpeleka SHOPPING na kueleza mabaya yake yasambaa


Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS – https://t.me/+uYTdRVvia5diMjE8

source

Reviews

0 %

User Score

0 ratings
Rate This

Sharing

Leave a reply to @Jibambeshow254k Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

31 Comments

  1. ๐๐ฎ๐Ÿ๐Ÿ ๐ƒ๐š๐๐๐ฒ…a k a ๐ƒ๐ˆ๐ƒ๐ƒ๐˜ amekua maarufu muda mreefu jambo linaloanza kuwapa khofu watu weupe…ushawishi wa watu weusi nchini Marekani wazungu wanachelea wasije kuiteka marekani ila kila jambo na wakati wake walitupeleka kwao kama watumwa na sasa bado wanatka watutumikishe kwa mafanikio yao binfsi ila wakati utafika mtu mweusi kuwa huru….walianza na ๐๐จ๐› ๐Œ๐š๐ซ๐ฅ๐ž๐ฒ wakaja kwa 2๐๐€๐‚ bila kuchelewa zamu ya ๐Œ๐‰ ikafika baada ya kumalizana na ๐‹๐”๐‚๐Š ๐ƒ๐”๐๐„ uko S.A hawajaishia apo wakamteka ๐‘ ๐Š๐„๐‹๐‹๐˜ baada ya kutoa ule wimbo wake unahamasisha na kuipamba AFRICA kipindi kombe la dunia linaandaliwa nchini humo…. Walipomaliza wakamalizana na ๐ƒ๐Œ๐— Kwa njia ya madawa ya kulevya, hawajaishia apo wakaona ๐ƒ๐ข๐๐๐ฒ ni mtu wao wa karibu na wamemtumia sana kwenye maajabu yao ya laana na sasa wanaona kazi yake imekwisha lakini hofu yao ni mtu mwenye ushawishi mkubwa na anayejitambua kwaiyo wakimuachia nafasi atawageuka hivo basi ni vema wakamdhohofisha mape kwa kila namna wakaanza kumchafua kwa vishawishi wanavyopamba wao kisha watateka mali zake apo afungwe jera watakua wamemaliza malengo yao lakini huo sio mwisho wao bado wanaendelea tu. Baada ya hapo wanakuja kwa ๐Š๐š๐ง๐ฒ๐ž ๐–๐ž๐ฌ๐ญ,50๐‚๐ž๐ง๐ญ ajiandae japo yeye anadhani fitina waliyoiunda kumchonganisaha na ๐ƒ๐ข๐๐๐ฒ katika mawazo yake anafrahia kukamatwa kwake lakini yamfaa afikrie mbali kwa sasa na ashiriki katika kupaza sauti ya kumuokoa mwenzake sio kumkandamiza. Baada ya ayo yote wanamalizia na ๐‰๐š๐ฒ ๐™. Dunia ya sanaa ktk upande wa HipHop na kampein yao katika mziki huu watakuwa wamemaliza sasa wasanii wa ๐€๐…๐‘๐ˆ๐‚๐€ yabidi mjifunze kupitia haya…kwanza kabisa jihadharini sana na umaarufu usiokua na tamaduni zenu msipende sana mafanikio kuliko utu jitahid sana kutoa misaada kwa ndugu zenu waafrica kwa kuzitunza tamaduni zetu…watu weupe wanapoouna unashobokea mambo yao wanakuvuta karibu yao wanakupandisha kwa mikataba yao kisha wanakushusha kwa kashifa kibao ambazo ulifanya ukiwa nao kwa mitego yao. Kinachowaumiza hawa mastaa ni kwa sababu wazungu waliandaa mitego yao mapema na wao hawakushutuka katika ilo….IPO SIKU MTAIKUMBUKA HII COMMENT.

  2. Mbona harmonize kafanyiwa sana shopping na diamond platinum alivyokuwa wcb wakina lavalava wanafanyiwa shopping d voice katika video zao boss anawanunulia nguo shopping au na diamond nae kama p.didy yale yale tu๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜‚