
Video ya 50 Cent alivyokataa ofa ya Diddy kumpeleka SHOPPING na kueleza mabaya yake yasambaa
Simulizi Na Sauti
0Subscribers
Video ya 50 Cent alivyokataa ofa ya Diddy kumpeleka SHOPPING na kueleza mabaya yake yasambaa
Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS – https://t.me/+uYTdRVvia5diMjE8
source
Reviews
0 %
User Score
0 ratingsRate This
Sharing
Tags
45 Related Posts
Related Posts
THE HANGER : Daliwonga and Jayden Lalli Episode
0
reactions
0
views
PURE TALENT! Rema – Bout U (Lyric video) REACTION
0
reactions
0
views
Happy Friday #africa #gospelmusic
0
reactions
0
views
Burna Boy Walks the Off-White Runway at Paris Fashion Week FW25
0
reactions
1
views
Watu wambea kwly mwambimba chimba sana
Ukute yy ndo alikuwa anafanyiwa 😂 nasi kuwafanyia wenzie
Watu wakutaka muziki wao ufike marekani mnaona wanavyo paka mafuta wenzenu 😂😂😂aya jikazeni pia mpakwe mafuta kisha mfunuliwe kundu ka wenzenu
Mwambino kasha pakwa mafuta na uyo dd
Fanya urudishe ile sound uliokuwa unaweka ndo ilikuwa inavutia
Diamond platnumz 😂😂😂
Mhhh dd mzee wa viazi mbatata
Napenda sns ila sipendi huyu kaka mtangazaji anavo tangaza simuelewi kabisa yani anakera mbona sky unatufanyia ivi jaman
Kumbe wamarekanii mnajua kwamba ni DHAMBI kweli afrika tuwe majin
Mimi hapa nikisema kuna watu wamepata utajiri kwa sababu ya ushetani wengina wananitukana na kusema niko na akili za kimaskini….
Mtandale yalimkuta huko
Haya maisha mazuri yana gharama sana
Nasubiri hukumu.bas
Kumbe 50 cent ni choko!!! Duh
Hatar
Tajiri namba moja duaniani kumbe utajiri alipewa na Didy aka mudidi 😂😂😂
msanii wenu bilionea aliogopa kusema walichofanya🤣🤣
SKU nikipata pesa nitakuwa busy na family yangu 😊bila kumsahau mungu kumtumikia
Kuna jamaa anaitwa diamond p Diddy kamleftisha group
Mzee wa chochote kitu….
Ukijilegeza tuu umepakwa mafuta..
𝐏𝐮𝐟𝐟 𝐃𝐚𝐝𝐝𝐲…a k a 𝐃𝐈𝐃𝐃𝐘 amekua maarufu muda mreefu jambo linaloanza kuwapa khofu watu weupe…ushawishi wa watu weusi nchini Marekani wazungu wanachelea wasije kuiteka marekani ila kila jambo na wakati wake walitupeleka kwao kama watumwa na sasa bado wanatka watutumikishe kwa mafanikio yao binfsi ila wakati utafika mtu mweusi kuwa huru….walianza na 𝐁𝐨𝐛 𝐌𝐚𝐫𝐥𝐞𝐲 wakaja kwa 2𝐏𝐀𝐂 bila kuchelewa zamu ya 𝐌𝐉 ikafika baada ya kumalizana na 𝐋𝐔𝐂𝐊 𝐃𝐔𝐁𝐄 uko S.A hawajaishia apo wakamteka 𝐑 𝐊𝐄𝐋𝐋𝐘 baada ya kutoa ule wimbo wake unahamasisha na kuipamba AFRICA kipindi kombe la dunia linaandaliwa nchini humo…. Walipomaliza wakamalizana na 𝐃𝐌𝐗 Kwa njia ya madawa ya kulevya, hawajaishia apo wakaona 𝐃𝐢𝐝𝐝𝐲 ni mtu wao wa karibu na wamemtumia sana kwenye maajabu yao ya laana na sasa wanaona kazi yake imekwisha lakini hofu yao ni mtu mwenye ushawishi mkubwa na anayejitambua kwaiyo wakimuachia nafasi atawageuka hivo basi ni vema wakamdhohofisha mape kwa kila namna wakaanza kumchafua kwa vishawishi wanavyopamba wao kisha watateka mali zake apo afungwe jera watakua wamemaliza malengo yao lakini huo sio mwisho wao bado wanaendelea tu. Baada ya hapo wanakuja kwa 𝐊𝐚𝐧𝐲𝐞 𝐖𝐞𝐬𝐭,50𝐂𝐞𝐧𝐭 ajiandae japo yeye anadhani fitina waliyoiunda kumchonganisaha na 𝐃𝐢𝐝𝐝𝐲 katika mawazo yake anafrahia kukamatwa kwake lakini yamfaa afikrie mbali kwa sasa na ashiriki katika kupaza sauti ya kumuokoa mwenzake sio kumkandamiza. Baada ya ayo yote wanamalizia na 𝐉𝐚𝐲 𝐙. Dunia ya sanaa ktk upande wa HipHop na kampein yao katika mziki huu watakuwa wamemaliza sasa wasanii wa 𝐀𝐅𝐑𝐈𝐂𝐀 yabidi mjifunze kupitia haya…kwanza kabisa jihadharini sana na umaarufu usiokua na tamaduni zenu msipende sana mafanikio kuliko utu jitahid sana kutoa misaada kwa ndugu zenu waafrica kwa kuzitunza tamaduni zetu…watu weupe wanapoouna unashobokea mambo yao wanakuvuta karibu yao wanakupandisha kwa mikataba yao kisha wanakushusha kwa kashifa kibao ambazo ulifanya ukiwa nao kwa mitego yao. Kinachowaumiza hawa mastaa ni kwa sababu wazungu waliandaa mitego yao mapema na wao hawakushutuka katika ilo….IPO SIKU MTAIKUMBUKA HII COMMENT.
Old news
Mbona harmonize kafanyiwa sana shopping na diamond platinum alivyokuwa wcb wakina lavalava wanafanyiwa shopping d voice katika video zao boss anawanunulia nguo shopping au na diamond nae kama p.didy yale yale tu😢😂
Tuna wasiwasi na Diamond kamuacha salama kweli😢
Tatizo Mwana unajikaza Sana kutagaza ili kuleta mvuto wa sauti. Hebu relux bas
Jamaa Alikua Anafira wanaume na Mafuta 1000
Muulizeni Diamond Ataawambia Vizur😂
Mmmh kwa r Kelly niliona Kuna kuumizana,,,ila kwa didy ni ngumu kudhani anaonewa
Jamaa alikua mfiraji mkubwa sana
Amnyandua mke wa kaka yake Bafuni bila kujua kuna kamera ya Siri 👇
https://youtu.be/-RgC7yo5zP0?si=u65DV39qGYl5CvlZ
Wa kwanza Leo kutoka Toronto 😂😂😂
Daah🙌🙌