RC MAKONDA NA WADUDU, WASANII WA ARUSHA WALA KIAPO KWA PAMOJA KUILINDA ARUSHA LEO
RC MAKONDA NA WADUDU, WASANII WA ARUSHA WALA KIAPO KWA PAMOJA KUILINDA ARUSHA LEO
#fidovato #wadudu #waduduwarchuga #makonda #paulmakonda #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon…
source
Reviews
0 %
Ana wasiwasi sana na Hawa jamaa. Anataka kuwashika ubongo maana wakigeuka watang'a kama panya rodi.
Mbio za sakafuni.
kuna mgambo wanazunguka pub za wazungu kukamata watu ovyo wanatuaribia sifa …
misso una hatariiii
chadema kwishaaaaa😢😢😢😢😢😢😢 ila ccm dam dam
Dem WA Kenyonyo ni nzuri
Mola azidi kukupa busara ndugu paul pamoja na raisi wetu raisi wa watu mpenda utu mpole na mpenda amani Amiin mola ibariki Tanzania
Safi Sana Poul Mwakonda Kwa kuwa unganisha Wasanii Wa Arusha. Mungu akupe Nguvu zaidi Uulinde Mkoa Wa Arusha dhidi ya Vitendo vya Uhalifu ambavyo huwa vinafanywa na Wale Wachache wanaotambulika Kwa Jina la Tatu Mzuka!
Huyu mwamba anaakili sana leo nimemuelewa
Big up sana makonda wadudu oyeeeeeeeeee akili mingi 😂😂😂😂
KAMANDA UMEIFANYA ARUSHA IWE BUSY MNO
Hapo kwenye kiapo big up! Ila wakienda tofauti na kiapo ndo kipindi kitaeleweka ni kama mtego😂💯 Akili nyingi Makonda UBARIKIWE sana 💯🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeipenda hiyooo wadudu oyeeeee
😂😂😂😂❤❤❤❤
Makonda linaakili sana hicho kiapo ni cha mtego subiri wazingue uwone atavowazingua
Kumbukeni kaka yenu ni mkali sana ataki masiala kwenye kazi zake mkimfata mtanufaika na nehema lkn mkimzigua atawazigua fateni na mpendeni chuga itaenda kubadilika kwa muda mchache kilicho shindikana kitawezekana kwa kipindi kichache uwo ni mji mkubwa sana anawazo kubwa kwenye ninavyo tazama.. mm mwenyewe namkubali sana
😂makonda hakuna mkoa una mshinda! kazi nzuri sana RC
MAKONDA AMEWAWEKA WATU BIZE ARUSHA HADI MADANGA HAYATI MUDA WA KUZINI😅😅😅
Makonda mwenye akili nyingi sana❤❤❤❤👍👍👍
Eeh inabidi iende hivi 😅
Vijana wavivu machawa mnapenda maisha maraisi ndio mana mnaambiwa chochote na mnapiga makofi..
Safi sana Mh Makonda 🎉🎉🎉❤❤ hako katoto leo wamekapandisha mezani 😅😅😅 kafupi sana
Big up kwa wadudu, na mzazi makonda.
❤
Uhakika
👍👍🙏
Ukitoka Arusha Nenda Kagera Mzee pga kaz Arusha kwanza