Rais Ruto awambia madaktari wanaogoma hakuna pesa zaidi ya kuwaongeza
Rais Ruto awambia madaktari wanaogoma hakuna pesa zaidi ya kuwaongeza
Rais William Ruto sasa amewaambia madaktari kuwa hakuna pesa zaidi watakazopata zaidi ya zile walizopewa na serikali. Rais anasema matakwa ya madaktari hayawezi kuafikiwa kwa sasa, akisema mzigo wa matumizi ya serikali kwa sasa ni mzito. Msimamo wa Rais ukijiri huku madaktari nao wakishikilia kuwa matakwa yanasalia yalivyo na wataendelea kugoma.
source
Reviews
0 %
Ruto Ako na kiburi zaidi lakini wacha abambanie watu wa chini sai kama wale wanalipwa 10k
This month pia waalimu wanaingia hapo hapo 😂😂😂 we have money for state house repairs,3 million for buying umbrellas,money to go campaign and jus going on top roof of high end vehicles, money to manufacture fake fertilizers hahhaa.
We love kenya eeehe hahhaa
Uyu ndio kiongozi wa taifa aliechaguliwa na maskini kumbe alikua na agenda zake. Leo hii maskini wanataabika kupata matibabu hadi kufariki. Ruto hana ubinadamu kabisa na kila uchao husimama mbele ya madhabahu kujifanya mzuri.
The house levy can be used to pay doctors since money is being deducted from their pay
We have supplementary budges for your wives,,,increased allocation to your offices but to doctors you say we have no money…cant u even employ them permanently instead of contracts
All important sectors in Kenya haa been paralyzed even people who applied for identity cards last year upto now they're unable to get them.
Bible quotes hahaha😄 everybody is armed 😀
Politics in These Ordinary Church
They even clap…weeee
Doctors are important than isaac mwauras.
Living within our means is good &ideally, the right thing to do but that concept must be mirrored across the government. This administration is currently immersed in massive plundering, superfluity corruption, & splendor. We cannot talk of living within means only when Kenyans make injunctions to their rights or when it comes to hustlers' welfare. first deal with government officials who are saturated in aggressive,& shameless shows of nouveau riche profanity & ostentations of newly arrived dynasties in the country.
Walipe utuongeze tax
70,000 for an intern!!!? Isn't that enough money?
Doctors should get back to work,we are all living in difficult times!!!
Hii Kenya ikona manenos
Punguza mishahara Yao nono, the other political members ulipe madaktari baba….
wewe mzee punguza kiburi watu wanakufaa zakayo na government yake wakora
Ruto stop corruption and you will have more than enough money to pay doctors and develop this country.
System ya majambazi……….
Ruto can afford 10 Millions watch, renovate statehouse with 700 Millions but no money for doctors
I am supporting Ruto for the first time..on this..Most doctors currently on govt. payroll hardly report for work for weeks.. they have failed to supervise nurses who terrorise the sick at will everywhere..Docs must lead by example or forget respect (only expect fear)..Why do you earn from government while 90% you are @your own/private hospital.. This is daylight murder by medics..
I also went through a 6yr.course in campus..So the issues of long spells of education is irrelevant.. Medicine should not be for people who aspire to be Rich.. Remember the hypocritical oath upon graduation..
Hawa ni doctors wa wapi wanaka walevi ??