NI VURUGU ARUSHA TAZAMA MSAFARA WA FIDO VATO NA WADUDU WALIVYOINGIA KWA MAKONDA KIBABE
NI VURUGU ARUSHA TAZAMA MSAFARA WA FIDO VATO NA WADUDU WALIVYOINGIA KWA MAKONDA KIBABE
#fidovato #wadudu #waduduwarchuga #makonda #paulmakonda #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon…
source
Dah atar
Bangi mbaya sana
Washamba tu,
Huez sema wapigwe bom kwa sababu hawaja adhiri chochotr..!!
Jamaa washamba hawa
Kiongozi wangu ✊🏽
Ww baba ako mwenyew ata baiskeli ana izo ni za wadudu mwehu ww acha shobo dundo
FIDO unaendesha old fortune Hilux na unataka kupishana na wasani kutoka Kenya Bure kabisa.
Gari namba A duh 😂😂😂
Vizuri mkuu
Mashada tupuu
Kuna ushamba wa aina nyingi Sana
Makonda Ana kazi kweli tumuombee
Ila chuga nyie
Yaan hao kweli nia waduadu sura zao tuu unakimbia mwenyezi mungu amsimamie tuu makonda kwa hayo mambo ya arusha inshallah hao watu watakaa sawa tuu shida ndo zinawafanya wanakuwa hivo
Makonda apewe maua yake kabla hajafa… Anauwezo had wa kuongoza wagonjwa wa akili😂😂
Namuelewa sana Mh. Makonda anachokifanya kama una uwezo wa kuona mbali utamuelewa tuu
Imeisha iyoo
mbona km washamba
Hiyo ndo nchi ya chuga ni mwendo wa kunyepa dadeki
Nawaunga mkono wadudu
Ni msururu😊
Future ya Hao wadudu Ni ipi? Inaamana hawatasoma?
Amani uleta furaha
Kwisha mziki mzito,chuganian
Swahili tv hamna habari nyingne au ni za hawa wadudu tu😮😮
Ivi na huyo vato ni msanii wa nini????😮😮😮😮
😂😂😂nchi ukisha ijua Rahaa Sana ata utumii nguvu simple tu 😂 like this
Wapigwe bomu la nyukilia😢😢😂
Hawa ndio chachu yakuutangaza utalii arusha kwenda levoo za juu zaidi kwa faida ya nchi yetu hata kiuchumi.Hivyo niwazo kutoka kwao kisha mweshimiwa alishike mkono
Bora ww umesema
Kwahiyo fido vato nae mdudu? Chalii akuo😅
Hyo vurugu nahuo msafara mbona kama sijaviona ?
Kwani hawa ndiyo arusha mbona kiongozi anahangaika nao? Ah. Au basi
wadudu wa mbaazi
BAGE YUUUUUUIU BANGE YAAAAAAAA, KAMATA SIKUMA NDANI.
Siyo wahuni.Ni binaadam kama wengine tu.
Wadudu karibuni sana Dar
Ofisi za serikal ishakuwa makaz ya wahuni
Hawanaa shidA na mtu oote
Nio G