
Mzozo DRC: SADC na EAC kukutana Tanzania kutaleta matunda?
BBC News Swahili
0Subscribers
Mzozo DRC: SADC na EAC kukutana Tanzania kutaleta matunda?
Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki na zile za Kusini mwa Afrika wanakutana jijini Dar es Salaam leo hii kujaribu kutafuta suluhu ya mzozo unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Wengi wanasubiria kuona kwa kiasi gani jumuiya hizi mbili zitafanikiwa kudhibiti mapigano na kurejesha usalama na huduma za msingi za wananchi huko…
source
Reviews
0 %
User Score
0 ratingsRate This
Sharing
Tags
45 Related Posts
Related Posts
🔴#TBCLIVE: BUNGE LA 12 – MKUTANO WA 18 KIKAO CHA KUMI NA NNE
0
reactions
7
views
Africa Energy Summit kicks off in Tanzania
0
reactions
8
views