
“HATUHUSIKI NA MAANDAMANO, TUKO TAYARI KWA LOLOTE”, POLISI KIGOMA WAFANYA DORIA KUIMARISHA USALAMA
Millard Ayo
0Subscribers“HATUHUSIKI NA MAANDAMANO, TUKO TAYARI KWA LOLOTE”, POLISI KIGOMA WAFANYA DORIA KUIMARISHA USALAMA
Reviews
0 %
User Score
0 ratingsRate This
Sharing
45 Related Posts
Nimemuona muuza nadafu ndani ya gwanda😂😂😂😂😂ila hii nchu😂😂😂😂😂
wauwaji
Hii ufala jaribu Kenya, ndio kuchokoza nyuki. Raia wanapenda hii mechii 😂😂😂😂
Wakenya hawauziwi uoga.. Tanzania ndugu zetu mtafika insha'Allah.
Uchawi unatawala ndani ya CCM ndio wanasapoti Harmonize Mzee Popo kuharibu kazi za Diamond Platnumz kwenye youtube na uchawi….Aibu Tz😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tanzania badoo ona vile jeshi hutembea kwa kikundi ukirusha gurunet habaki mtu
Sasa Wananch Ni wa kubebea Bunduki??? Adui Utambebea Nini? Washamba Tu
Fanyeni vyote, lakn watu yakishawafika kooni hawataogopa lolote hata😎
Kazi kuwatia raia hofu tu na kuwaharibu mafuta ya kodi za wananchi hivi ving'ora vyote mngekuwa ndo mnatafuta watu wanaoteka wenzao na kuwaua tungewaona watu wa maana kuwa tuna jeshi la police linajali uhai wa wananchi hapa mnatuziba midomo ndo tafsiri yake haya bhana amna jinsi ila naamini ata baadhi ya police awapendi ila ni vile watoto na wake zao wanategemea hiyo kazi wanaamua kuforce ajira zenyewe Akuna
😂😂 mbona polisi wameketi mbele ya hiyo lori? TZ mna vituko.
Maskini wanaenda kuwawinda maskini wenzao ili kuwalinda mafisadi wansowazurumu maskini.
Asa mbona maaskari wanaandama badala ya chadema au ndo wanawakilisha
Asa mbona maskari wanaandamana badala ya chadema
Watanzaumbwa ni waoga tu ,,hawa wanatakaga mawee tu mawee aijui risasi
Mama hajiamini, kiti cha uraisi kizur
Hakuna nchi yenye watu waoga kama Tanzania
Wanapigana na nani wanabeba silaha nzito hivo?
Now New
na mujue @diamond alifunguliwa booty na Diddy😅😂😂😂
Aaaaaaaaaaaaaaaas. Hila hii SI nchi ya amani??😊😊😊
Mmmmmmmmh!
Yani mnatumia pesa bila sababu za wananchi, juzi nimemuona mama anaomaba msada mtoto wake ulimi umetoka nje umajaa mdomoni, anaomba msada wa laki 6, ana lakini rais anawapa simba na yanga milioni 5, kila gari, posho za mapolisi hawa, kweli lakini, Mungu tunakuomba ingilieni kati , tunadhulumiwa haki yetu, na wana CCM
Wanaoga haya hao 😂
Hilo jeshi la polisi kwann msiende kumsaka yule mtoto aliyepotea miliman
Wamejambishwa
Yaan police wa tanzania n mabongo lala 2
kazi yenu ni ngumu kwel yan amn khof kabsa na police
Wtz msipende vita mngekutana na watu nchi zao zilizopitia vita wakusimulie unasema libarikiwe jeshi la polisi na jesh la wananchi jwtz fanyeni kazi yenu hatutaki vita chapa kbsaa ambae haeleweki wasilete uchupi
Binafsi
Mtoto wangu akiomba kibali awe police
Siwezi kumruhusu😮😮😮
ushawai kuona mtoto wa tajiri ni polisi?
Police good good
Mitutu kila kona utadhani Afghanstan😯😳🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Hakuna Chochote kabisa
Et ..tunaandamana kwa manufaa ya nani..?? Watoto wao wapo mwakwao wanakula vzr mishahala inaingia..wanatembelea magali mazur..cc ata baskel hatuna..Eti tuandamane tukivunjwa miguu nani atakuja kutuhudumia…??
Achana na Tanzania ya viwanda!😅😅
Weka gari full tank Tz nzima halafu piga hesabu!
Watekajii hamukamati kutumia madaraka vibayatu mutafika mbinguni mutaabani ndomana mukistaaf mwapata skar na presha nyoooo
SARAFINA…
Dalili ya mvua ni mawingu..
SAF SANA SAIZ STOR ZA MAJAMBAZ HAKUNA SIO KAMA ZAMAN KWETU SIS AMBAO HATUJIHUSISHI NA MAMBO YA SIASA HATUNA SHIDA TUKO SALAMA