Domokaya Akanusha Mandojo Kuwa Na Msongo wa Mawazo

Spread the love


Domokaya Akanusha Mandojo Kuwa Na Msongo wa Mawazo


Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyekuwa akiunda kundi la “Mandojo na Domokaya” Precious Juma maarufu kama Domokaya amesema Kifo cha Rafiki yake Mandojo hakijatokana na msongo wa mawazo kama baadhi ya watu wanavyozungumza kwenye mitandao ya kijamii.

source

Reviews

0 %

User Score

0 ratings
Rate This

Sharing