BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan
BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan
Kwa zaidi ya mwaka mmoja, vita vilivyosahaulika vimekuwa vikiendelea nchini Sudan. Maelfu ya raia wamepoteza maisha na mamilioni zaidi wamelazimika kukimbia makazi yao.
Hospitali na maeneo ya ibada yamebomolewa kwa mabomu, huku makaburi ya muda yakichimbuliwa ili kuwazika wale waliokumbwa na mapigano.
Mwandishi wa BBC Feras Kilani, ambaye…
source
Reviews
0 %
BBC shukurani sana kwa kutupatia hizi taarifa 🇹🇿🤝🙏
Acha wazichape tu, Karma imewarudia, joka walilolifuga kuangamiza Waafrika Darfur limewageuka
Waafrika weusi ndo wanaoteseka Sudan
Hata sisi kwetu DRC tunasibiwa na madhila hata zaidi ya hayo… Poleni sana ndugu zetu wa sudani
Katia vita mbaya zaid ni ile ya wenyewe kwa wenyewe hilo ni tatz kubwa
Nchi zapigwa vita za kislamu
Siasa itamaliza dunia😭😭😭