BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan

Author Avatar

BBC News Swahili

Joined: May 2024
Spread the love


BBC Africa Eye : Vita iliyosahaulika Sudan


Kwa zaidi ya mwaka mmoja, vita vilivyosahaulika vimekuwa vikiendelea nchini Sudan. Maelfu ya raia wamepoteza maisha na mamilioni zaidi wamelazimika kukimbia makazi yao.

Hospitali na maeneo ya ibada yamebomolewa kwa mabomu, huku makaburi ya muda yakichimbuliwa ili kuwazika wale waliokumbwa na mapigano.

Mwandishi wa BBC Feras Kilani, ambaye…

source

Reviews

0 %

User Score

0 ratings
Rate This

Sharing

Leave your comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

7 Comments