
🤣RAIS SAMIA: DADA AISHA HIZO HIGH HEELS KAZIVUE🤪🤩🔥 #breaking #globaltv #shortsvideo #viralvideo
athompson
Joined: Mar 2024
🤣RAIS SAMIA: DADA AISHA HIZO HIGH HEELS KAZIVUE🤪🤩🔥 #breaking #globaltv #shortsvideo #viralvideo
30 Related Posts
Prisdent sio mbaya ira watendaji wake sijui wanamzarau kwakua nimama
Piga kazi mama
😂😂😂sharon
Samia 5 tena
Muislm mzima wamwambia mwamke mwezio tena,, maybe n mke wa mtu. Ety avue jalbabs akavae jeans
Nnaimani na mama mueshimiwa wetu rais wetu
Madebe mzee mwenzako kakukandia 😂 anasema angekuw na tamaa kama zako kusingekuw na wajukuu wangeisha ,, 😂
Mweshimiwa habari ya mchana kwa majina naitwa chiku naitwa chiku juma natokea singida naumwa mweshimiwa niko singida naomba msaada wako nipate matibabu samahani kwa usubufu naomba msaada wako nahali mbaya sina uwezo
Mama nakupenda kiukweli ❤❤❤❤
Must go
Rais anafanya kazi vizuri tu. Wanawake ni watendaji wazuri sana
Mama bora Aisha ashughulikie pia na Wafugaji wa Makunduchi, Kibuteni na Kizimkazi ng'ombe wao wanawaingiza kondeni kwangu kula mihogo yangu.
waaoo mama ❤❤❤❤
Congratulations to you Dada Aisha. Ubarikiwe ktk kujenga Taifa Tanzania.
RAIS ANAONGEA MPUMBAVU ANAANGALIA WANJA. WATZ MMEROGWA NA NANI😂
MAMA ANAONGEA❤
Mama mitano tena❤🎉
Mama avue staraa,Aaa!jamani!innalillah wainna ilaihi rajiun
Mama huyu 🥰💪
Raisi wetu uko na upendo sana kwa raia wako
Safi wajina wake ❤❤❤❤❤❤Allah yupo pamoja nawe😊😊
Mashallah nasubiri siku moja Na Mimi mama anitaje ipo siku
Mpaka nayy akafunge na kuvua Samaki, Si Aki Sawa haya Wanawake Changamkieni fulusa 😂😂😂
Mama mwema!🎉🎉
Teuzi nyingi na kubwa kuliko utendaji Eee Mwenyezi Mungu Tunusuru na janga Hilii!!
Sema wanja wa mama pambee
Mapunda mmbea ila akili anazo🎉
Aisha au Ashantu?
Subhana Allah 😭😭 Al -Malik Quddus….sadakta sheikh haoo wanaume wapo tena wapo duniya hii tunayoishi… Mungu atunusur ktk maisha yetu sisi wanawake wallah
Wa'alaykum salam warahmatullah wabarakat .. Naam tupo pamoja ln shaa Allah
Wajina langu chapa kz umeaminiwa, ahsànte mama kwa kuwaamini wanawake,mungu atakusaidia wasiikuoenda waandamane
Hatimae wivu umezaa matunda 😅
Full of wisdom ❤❤❤❤❤❤❤❤
0l0p0p⁰5